Bw Edwin Omindo ni mwalimu wa shule ya msingi kutoka Luanda katika Kaunti ya Vihiga.
Washindi wa fainali watatangazwa katika hafla rasmi ya tuzo hiyo itakayofanyika Julai 3, 2025, jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Gavana Fatuma Achani aliwahimiza wazazi na wanafunzi kuchukua fomu za basari katika afisi za wadi Kwale nzima.
Kwenye mazishi hayo, wanasiasa kutoka mrengo wa ODM walifika kufariji waumini na familia.
Gavana Nassir alisema Hospitali hiyo ya kiwango cha Level 4 itakuwa ya kwanza kushughulikia upasuaji wa tatizo la kupasuka midomo kwa watoto wachanga.
Baadhi ya mashabiki wa Pembe walisema watakosa tabasamu na furaha iliyotokana na muungano wake (Pembe) na Mzee Senga.
Barabara zinatengenezwa kuwa salama katika mpango unaoleta pamoja Wakfu wa FIA, Halmashauri ya Barabara za Mijini Nchini (KURA) na mashirika mengine.
Wanaomfahamu kwa ukaribu wanasema hakuwahi kuingia studio na karatasi wala simu kama wanavyofanya wasanii wa sasa.
Afisa wa masilahi ya watoto Msambweni asema akina baba, babu na wajomba ndio wanamulikwa sana.