Kanuni za EFL zinasema wazi kwamba mchezaji hatahifadhiwa kucheza kwenye fainali ikiwa alisajiliwa kwa timu yake mpya baada ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali.
Bi Zuleikha Juma Hassan alisema barabara ya Dongo Kundu ni kiungo kinachorahisisha usafiri katika kipindi ambacho barabara ya Kinango–Kwale bado haijakamilika.