#Added by Haswek page.10 = TEXT page.10.value =
#End Haswek
Skip to main content Skip to page footer

Jeffrey Epstein alikuwa mfanyabiashara tajiri wa Marekani aliyejulikana kwa mtandao wake mpana wa ushawishi.

Read more

Bw Lissu, ambaye alizaliwa Januari 20,1968, ametimiza umri wa miaka 58, huku akiwa amefikisha zaidi ya miezi tisa akiwa kizuizini.

Read more

Tahmeed pia ilitoa rambirambi kwa familia na marafiki wa abiria waliofariki huku ikitoa pole kwa majeruhi.

Read more

Mbali na pembe zake kubwa, Craig alisifiwa kwa tabia yake ya upole na utulivu wa kipekee. 

Read more

Ni ujumbe mzito kwa wanasiasa duniani kote kwamba uwajibikaji ni nguzo kuu ya demokrasia.

Read more

Bi Zuleikha Juma Hassan alisema barabara ya Dongo Kundu ni kiungo kinachorahisisha usafiri katika kipindi ambacho barabara ya Kinango–Kwale bado haijakamilika.

Read more

Majina ya mashujaa waliochangia historia ya Kenya yaliposomwa, umati uliibua shangwe na machozi kwa pamoja lilipotajwa jina la Raila Odinga.

Read more

Tume yasema kati ya bajeti ya Sh1.046 bilioni iliyotengwa kufanikisha chaguzi ndogo 24, ni Sh788 milioni pekee zilizotolewa na Hazina ya Taifa.

Read more

Zaidi ya washukiwa 35 walibainishwa kupitia uchunguzi huo.

Read more

Mradi huo unatarajiwa kubeba abiria wasiopungua 4,000 kwa siku. 

Read more