#Added by Haswek page.10 = TEXT page.10.value =
Jeffrey Epstein alikuwa mfanyabiashara tajiri wa Marekani aliyejulikana kwa mtandao wake mpana wa ushawishi.
Bw Lissu, ambaye alizaliwa Januari 20,1968, ametimiza umri wa miaka 58, huku akiwa amefikisha zaidi ya miezi tisa akiwa kizuizini.
Tahmeed pia ilitoa rambirambi kwa familia na marafiki wa abiria waliofariki huku ikitoa pole kwa majeruhi.
Mbali na pembe zake kubwa, Craig alisifiwa kwa tabia yake ya upole na utulivu wa kipekee.
Ni ujumbe mzito kwa wanasiasa duniani kote kwamba uwajibikaji ni nguzo kuu ya demokrasia.
Bi Zuleikha Juma Hassan alisema barabara ya Dongo Kundu ni kiungo kinachorahisisha usafiri katika kipindi ambacho barabara ya Kinango–Kwale bado haijakamilika.
Majina ya mashujaa waliochangia historia ya Kenya yaliposomwa, umati uliibua shangwe na machozi kwa pamoja lilipotajwa jina la Raila Odinga.
Tume yasema kati ya bajeti ya Sh1.046 bilioni iliyotengwa kufanikisha chaguzi ndogo 24, ni Sh788 milioni pekee zilizotolewa na Hazina ya Taifa.
Zaidi ya washukiwa 35 walibainishwa kupitia uchunguzi huo.
Mradi huo unatarajiwa kubeba abiria wasiopungua 4,000 kwa siku.