Skip to main content Skip to page footer

Ni ujumbe mzito kwa wanasiasa duniani kote kwamba uwajibikaji ni nguzo kuu ya demokrasia.

Read more

Bi Zuleikha Juma Hassan alisema barabara ya Dongo Kundu ni kiungo kinachorahisisha usafiri katika kipindi ambacho barabara ya Kinango–Kwale bado haijakamilika.

Read more

Majina ya mashujaa waliochangia historia ya Kenya yaliposomwa, umati uliibua shangwe na machozi kwa pamoja lilipotajwa jina la Raila Odinga.

Read more

Tume yasema kati ya bajeti ya Sh1.046 bilioni iliyotengwa kufanikisha chaguzi ndogo 24, ni Sh788 milioni pekee zilizotolewa na Hazina ya Taifa.

Read more

Zaidi ya washukiwa 35 walibainishwa kupitia uchunguzi huo.

Read more

Mradi huo unatarajiwa kubeba abiria wasiopungua 4,000 kwa siku. 

Read more

Waziri wa Uchukuzi Davis Chirchir, alipokagua mradi huu wiki iliyopita, alisema reli iko tayari na inatarajiwa kuhudumia abiria wapatao 4,000 kwa siku.

Read more

Bw Edwin Omindo ni mwalimu wa shule ya msingi kutoka Luanda katika Kaunti ya Vihiga.

Read more

Washindi wa fainali watatangazwa katika hafla rasmi ya tuzo hiyo itakayofanyika Julai 3, 2025, jijini Dar es Salaam, Tanzania.

Read more

Gavana Fatuma Achani aliwahimiza wazazi na wanafunzi kuchukua fomu za basari katika afisi za wadi Kwale nzima.

Read more