Skip to main content Skip to page footer

Wasimamizi wadi waonywa dhidi ya kutoa basari kiubaguzi

Gavana Fatuma Achani aliwahimiza wazazi na wanafunzi kuchukua fomu za basari katika afisi za wadi Kwale nzima.

Gavana wa Kwale Fatuma Achani akihutubia wakazi wa Tiwi katika hafla ya kufungua shule ya chekechea. Picha/Mishi Gongo

Gavana wa Kaunti ya Kwale Fatuma Achani amewaonya wasimamizi wa wadi almaarufu watawadi dhidi ya kupeana basari kiubaguzi.

Gavana Achani alisikitika yapo malalamiko kwamba basari zinatolewa kwa misingi ya dini na miegemeo ya kisiasa ya wazazi wa wanufaika.

Alionya serikali itawakabili watakaopatikana na hatia.

Bi Achani aliyekuwa akizungumza katika halfa ya kufungua shule ya chekechea eneo la Tiwi, alisema kuwa kila mtoto wa Kwale ana haki ya kupata ufadhili wa basari bila kufanyiwa ubaguzi.

"Ufadhili wa masomo unaotolewa unapaswa kuwafaidi watoto wote katika Kauti ya Kwale. Ni hatia mtoto kunyimwa ufadhili wa masomo kwa misingi ya kikabili au kidini," Bi Achani alisema.

Gavana huyo aliwahimiza wazazi na wanafunzi kuchukua fomu za basari katika afisi za wadi kaunti nzima ya Kwale ili kunufaika na ufadhili pindi shule zitakapofunguliwa Januari 2025.

Wakati huo huo aliwaonya wazazi ambao wanawahusisha watoto wao na ndoa za mapema na wale wanaowaachilia watoto kuajiriwa.

"Serikali inatoa pesa ili kuwawezesha watoto kutoka familia maskini kupata elimu. Hivyo mzazi atakayekosa kupeleka mwanawe shuleni atachukuliwa hatua,"akasema.

Hadi kufikia sasa Kaunti ya kwale imefadhili zaidi ya wanafunzi 8,000 walio katika shule za upili za kitaifa wanaolipiwa karo kwa asilimia 100.

1573 results:
Raila takes holiday abroad, sparks debate online  
Date: 2025-08-24
Raila Odinga His retreat, though brief, arrives at a moment when speculation on succession politics and strategic maneuvering is high.  
End of the road for East Africa as hosts crash out of CHAN 2024  
Date: 2025-08-24
Senegal's Seyni Ndiaye shoots the ball past Ugandan player during their CHAN 2024 quarter-final match The East African dream is over--at least for now--and the Pamoja nations are left with memories of vibrant crowds, carnival atmospheres, and fleeting hope.  
Kenya vs Madagascar: Harambee Stars bow out of CHAN after penalty nightmare  
Date: 2025-08-23
Kenya Squad The match remained deadlocked through extra time, prompting a dramatic penalty shootout.  
East Africa’s hopes rest on Uganda as Kenya and Tanzania crash out of CHAN  
Date: 2025-08-23
Uganda Cranes The Cranes face Senegal in Kampala on Saturday (today) for a place in the last four(4).  
UoN pharmacy alumni mark golden jubilee with free medical camp  
Date: 2025-08-23
golden jubilee medical camp During the medical camp event, the Pharmaceutical Society of Kenya (PSK) raised alarm over rising cases of unqualified individuals infiltrating pharmacies.  
CHAN Quarter-Finals Set: Stakes high for hosts and challengers alike  
Date: 2025-08-22
Benni McCarthy Kenya, who topped Group A with 10 points, are under intense pressure to deliver in front of their home fans and reach the semi-finals for the first time.  
Speaker Wetang'ula warns MPs against corruption, absenteeism  
Date: 2025-08-21
Moses Wetang'ula The Speaker addressed claims of legislators soliciting inducements to influence legislation.  
Gachagua returns from a six-week US tour amid chaos at Kamukunji rally  
Date: 2025-08-21
Rigathi Gachagua The turbulence marked a dramatic contrast to the peaceful and symbolic nature of his US mission.  
High Court halts Ruto’s anti-corruption taskforce  
Date: 2025-08-21
The orders follow a petition filed by Nakuru-based surgeon Dr Magare Gikenyi, alongside Eliud Karanja Matindi, Philemon Abuga Nyakundi, and Dishon Keroti Mogire.  
Senate to hear governor Mutai's impeachment in plenary next week  
Date: 2025-08-20
Eric Mutai The Senate will handle the impeachment in a full House session, in line with Section 33A of the County Governments Act and Senate Standing Order 81B(2).  
Search results 1 until 10 of 1573