AVDelta News
Droo ya FA Cup yaleta pambano kubwa Etihad, timu ndogo zapata nafasi ya kushangaza vigogo.
Prof Bitok akiri mwanafunzi hayuko shuleni, PAC yasisitiza arudi mara moja.
Nyota wa PSG asema kulikuwa na busu tu, kesi sasa kuamuliwa na mahakama.
Kanuni za EFL zinasema wazi kwamba mchezaji hatahifadhiwa kucheza kwenye fainali ikiwa alisajiliwa kwa timu yake mpya baada ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali.
Kwa fikira za Guardiola, hata kama alikuwa akifanya mzaha, fainali ya Carabao inafaa kuwa uwanja usio wa timu yoyote.
Kwa wanaofuatilia siasa, kualikwa kwa Kalonzo ni ishara ya kutambuliwa kwake kimataifa.
Mohamed alikata rufaa akidai kuwa na matatizo ya kiafya na changamoto za kifamilia.
Jeffrey Epstein alikuwa mfanyabiashara tajiri wa Marekani aliyejulikana kwa mtandao wake mpana wa ushawishi.
Bw Lissu, ambaye alizaliwa Januari 20,1968, ametimiza umri wa miaka 58, huku akiwa amefikisha zaidi ya miezi tisa akiwa kizuizini.
Tahmeed pia ilitoa rambirambi kwa familia na marafiki wa abiria waliofariki huku ikitoa pole kwa majeruhi.